Vi bøger
Levering: 1 - 2 hverdage

Bøger udgivet af Dl2a Buluu Publishing

Filter
Filter
Sorter efterSorter Populære
  • af Mohammed Khelef Ghassani
    97,95 kr.

    MUHTASARI WA KITABU: Andamo ni diwani ya tungo za ushairi zilizoandikwa na Mohammed Ghassani kwa muongo mmoja kuanzia miaka ya mwanzoni ya 1990 hadi mwanzoni mwa miaka ya 2000. Ni tungo zinazoogelea pamoja naye kwenye bahari ya uzoefu wa mwanzo wa ujana kuelezea hadithi yake ya maisha, mtazamo wake juu ya yale yaliyokuwa yakitokea mbele ya macho yake na ufahamu wake kwa ulimwengu. Aliyekuwa Katibu wa Kamati ya Fasihi na Utamaduni ya Baraza la Kiswahili la Zanzibar (BAKIZA), Bwana Abbas Mdungi, wakati akikabidhi ripoti ya mswaada wa diwani hii mwezi Oktoba 2003, aliandika hivi: .."..Mshairi ameibuni kazi yake kwa ustadi mkubwa kama kwamba ni mweledi katika utunzi ilhali hii ndiyo kazi yake ya kwanza kabisa. Mitindo aliyotumia ni mingi na mizuri ambayo inatafautiana na wakati wengine kushabihiana....Kwenye lugha, ametumia lugha ya ushairi - nyoofu, nzuri na telezi... Maudhui, bila shaka, ameyatumia vizuri kuweza kuelimisha jamii akijikita kwenye masuala ya utamaduni, siasa na uchumi, ingawa utamaduni umekuwa sura kubwa zaidi.....Kwa kawaida, washairi wa Afrika huzikita dhamira zao katika migogoro ya kimapenzi, kindoa, kidini, kikazi, kinyonyaji, kidemokrasia, uongozi mbaya, umangimeza, njaa, umasikini na maradhi, naye kwa ujumla amefanikiwa sana katika hilo...." Kwa hivyo, ndani ya Andamo, sio tu muna mwangwi wa sauti ya kijana anayejaribu kuiwasilisha hadithi yake kwa hadhira kwa njia ya kishairi, lakini pia ishara ya kuibuka kwa kipaji cha aina yake kwenye uwanja wa fasihi ya Kiswahili.

  • - (school Edition)
    af Mathias E Mnyampala
    82,95 kr.

    Ugogo na ardhi yake "The Gogo and its land" is the first geography book wrote in Kiswahili about the Ugogo region in Tanzania (former Tanganyika territory). The book gives precious details with numeric tables about populations, crops and environment. The linguistic terms about the land and especially the soil are given in a Cigogo/Kiswahili translation. The precise administrative organization of the land is also described. Ugogo na ardhi yake will be a valuable reference book for historians, geographers and all the people interested in the history of geography and ecology in the beginning of the 20th century in Tanganyika. It is worth to mention that Mathias E. Mnyampala is a pioneer in the history of ecology studies in East Africa also he is more known as a poet and lawyer.

  • af Hashil Seif Hashil
    132,95 kr.

  • - Vie du Cheikh Kaluta Amri Abedi (1924-1964)
    af Cheikh Bakri Abedi
    175,95 kr.

  • af Haji Gora Haji
    197,95 kr.

Gør som tusindvis af andre bogelskere

Tilmeld dig nyhedsbrevet og få gode tilbud og inspiration til din næste læsning.