Vi bøger
Levering: 1 - 2 hverdage

Bøger udgivet af Dl2a Buluu Publishing France

Filter
Filter
Sorter efterSorter Populære
  • - Kiongozi Cha Mwalimu
    af Elizabeth Godwin Mahenge
    87,95 kr.

    Kitabu hiki cha kiongozi cha mwalimu, kimekusudia kuwa mwongozo kwa ajili ya kuwafundisha wageni. Kitabu kinamwelekeza mwalimu namna ya kumfundisha mwanafunzi wa kiwango cha kwanza, cha pili, na cha tatu. Katika kila hatua ya kumfundisha mwanafunzi lugha ya Kiswahili, kumetumika mbinu mahsusi ili kuhakikisha mwanafunzi anafunzwa kwa umahiri mkubwa na anapata stadi ya kimawasiliano ya lugha ya Kiswahili. Kitabu hiki ni muhimu kwa mtu yeyote anayetaka kufundisha lugha ya Kiswahili kwa wageni.

Gør som tusindvis af andre bogelskere

Tilmeld dig nyhedsbrevet og få gode tilbud og inspiration til din næste læsning.